Mafundi wakiwa wanaendelea na shughuli za ujenzi wa karavati katika eneo la Kwa Kichwa Kata ya Zingiziwa, Ilala jijini Dar es Salaam Dar es Salaam. Eneo korofi maarufu ‘Kwa Kichwa’ lililopo Kata ya ...
Dar es Salaam. Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi, Elizabeth Edward amesema taasisi za mikopo kwenye jamii zina faida na hasara zake. Amesema wakati benki zikisubiri wakopaji lakini watu wamekuwa ...
Dar es Salaam. Mabosi wa Yanga kwa sasa wako katika mchakato wa kusaka kocha mpya atakayeinoa timu hiyo kwa msimu ujao, baada ya Miloud Hamdi aliyeipa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2024-2025, ...
Unguja. Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji Aziza Suwedi, amezindua rasmi kamati ya maadili ya uchaguzi ya kitaifa ikiwa ni hatua muhimu katika kuhakikisha uchaguzi wa ...
Wajumbe kupitia UWT Wilaya ya Geita ,wakiwa kwenyw ukumbi wa Shule ya Sekondari Nyankumbu wakisubiri kupiga kura kuchagua madiwani viti maalum. Geita. Wajumbe 3,000 wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha ...
Tabora. Jumla ya wanachama 110 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tabora wamejivua uanachama wa chama hicho. Miongoni mwa wanachama waliojivua uanachama ni pamoja na Mwenyekiti wa ...
Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew.
Tumebakiza siku 110 kama uchaguzi mkuu utafanyika Oktoba 26,2025, lakini tunashuhudia baadhi viongozi wa vyama vya upinzani na watia nia, wakitoa ahadi zisizotekelezeka hadi unajiuliza ...
Dar es Salaam. Mei Mosi ya mwaka huu imeacha kicheko kwa maelfu ya watumishi wa umma baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kutangaza nyongeza ya kima cha chini cha mshahara kwa asilimia 35.1 kuanzia Julai ...
Dar es Salaam. Mondi anakawaida ya kutoa wimbo kila wiki. Na siyo kutoa tu. Na wimbo 'ukahiti'. Yaani 'everi wiki anaririizi traki na inaenda vairo'. Jamaa kashika kila kitu kinachohusu muziki. Kuna ...
Baba aliweka Biblia, noti ya Sh10,000 na bia mezani. Akaketi kujadiliana na mkewe. Baba akamwambia mkewe: “Leo nataka tumpime kijana wetu tujue kipaji chake, kama atachukua Biblia, maana yake atakuwa ...
Dar/ mikoani. Usiri umetawala wa kinachoendelea ndani ya vikao vya Kamati za Siasa za Chama cha Mapinduzi (CCM) katika ngazi ya mikoa vitakavyotoa mapendekezo ya kuwafyeka watiania 3,293 wa ubunge.